Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato asiwe na mtoto zaidi ya mmoja,awe mnene kidogo mrefu saizi ila sio sana.

Na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed, awe na miaka 36-40.awe mkristo na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboa.


Karibuni,kejeli sio nzuri

ha! ha! miss manka nipigie kwa 0715-*6*910 ukipatia namba za kwenye hizo nyota mbili basi utakuwa umebahatika. Kazi kwako!
 
Kumbe 25 Bas we ni age yangu, eb nitafte inbox kama upo serious
 
hivi kwenye hiyo range ya umri siutakutana na wame wa watu......
 
mm ni bint wa 25...pretty n i respect my self...
ndo maana nataka yule alie komaa

25yrs unataka me wa 40yrs! Mm nina 33yrs ni saiz yako kabisa na vigezo vyote ninavyo, ila namzimikia sana miss chagga japo naogopa kumtongoza! Hebu nipe vigezo vyako vinavyoweza kunishawishi upendo wangu nikauhamishia kwako!
 
Kwa vigezo hvyo utaendelea kuwa single hadi utakuwa album kabsa.. Ngumu sana kupata 100% vgezo vyako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom