Natafuta mume wa kunioa


Mimi bado niko kwenye early 30's, nakaribishwa? Haujaweka wasifuu wako bibie.
 

Wewe uko size ipi aseee. Nitafute tuongee kwa namba +4915175161643. Sio namba ya jini hii, maana huku wazungu sio wakali sana.
 
25yrs unataka me wa 40yrs! Mm nina 33yrs ni saiz yako kabisa na vigezo vyote ninavyo, ila namzimikia sana miss chagga japo naogopa kumtongoza! Hebu nipe vigezo vyako vinavyoweza kunishawishi upendo wangu nikauhamishia kwako!

miss chagga kamata fursa tafadhali. Mjumbe hauwawi lakini.😁
 
Last edited by a moderator:
Aisee hii hatare.... babe Kim nana uko tayari nimuongeze huyu awe wa pili?

Wewe tu na roho yako. raha ya mume tuwe wanne ati..
Ila mwambie mapemaa una miaka 45, asije kujikhuluwi mbele ya safari.
 
Last edited by a moderator:
vigezo unavyovitoa utafikiri wewe ndo unaumba wanaume
 
Hapo kwenye unene mie chali, safari njema..
 
Dada usivunjike moyo aliyepangwa na MUNGU kwa ajili yako atapatikana,usijali one day yes.
 
Kila MTU anamapungufu yake, unaweza pata mzuri kitandani lakini si mcha Mungu ni chapombe au choriii, hivyo chagua kimoja awe mcha Mungu au mzuriii kitandani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…