Miaka yote hiyo ulikuwa wapi!!
Nikiwa na Post Graduate Diploma (in lieu of Masters) na vigezo vingine ninavyo nitakuwa short listed??
Mwenyezi Mungu akuongoze upate mume mumeo.Ni yeye tu ndie atakaekupa ubavu wako akuongoze kwani hapa JF watu wanaolewa na kuoa na wapo kwenye ndoa mpaka-sasa,JF kuna wateja wa milembe na wateja wa shikuba so wapuuze....
namyima unymba miaka miwili adhabu yake
SIFA ZA MWANAUME
- Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
- Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
- Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
- Elimu kuanzia degree na kuendelea
- Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
- Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
- Umri 34-40
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani
umri Wako pia ni muhimu kusemaSIFA ZA MWANAUME
- Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
- Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
- Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
- Elimu kuanzia degree na kuendelea
- Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
- Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
- Umri 34-40
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani
SIFA ZA MWANAUME
- wastani
Miaka 30 na bado unaweka masharti magumu namna hiyo??
Hawa early 20's watasemaje???
Adjussi --- Mambo ya East of Eden, Guk Gja(Young Ran) vs Hyung!!!!! sikupenda ilivyoishia ila ilikua poa sana na mafunzo meengi sana.
Labda hiyo ya kutowahi kuoa au kuwa na motto, kutokunywa pombe wala kuvuta (sigara, wala bangi, hata shisha) Mkristo lakini sio KKKT, sijaajiriwa nimejiajiri...........nyingine zote sina. I wish I could have been a miracle maker ningebadilisha hivyo vigezo vyako vyote vinisuit mimi......!
SIFA ZA MWANAUME
- Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
- Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
- Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
- Elimu kuanzia degree na kuendelea
- Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
- Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
- Asiwe bahili na asiwe Malaya
- Umri 34-40
SIFA ZANGU
- Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
- Sinywi wala sivuti
- Urefu kimo cha kike
- Elimu Masters degree
- Mkristo
- Rangi mweupe wa wastani
Dah!,kumbe tuko wengi aisee!,napenda sana Korean Movies.