Natafuta mume, nina miaka 24

Natafuta mume, nina miaka 24

Una miaka 24 unataka wa miaka 40?!! Ukimwekea mguu pwani mguu Zanzibar na ukaiminyia kwa ndani si anafariki?!! Ama shida yako mirathi ukale na charii yako baada ya msiba?!!
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Hongera sana
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Umepata au bado unatafuta
 
Mara ya mwisho kuonekana ni October, 02, 2023
Itakuwa aliamua kujia au alipata mstaafu
 
Atakuwa amewalenga wenye financial stability

Hataki mwanaume wa kumwambia kuna deal nalisubiria 😅🙌
Mambo yasiwe mengi akataka wanene uhakika hawana msongo wa mawazo wamejipata kiuchumi.
 
ENDELENI TU kutukejeli sisi maskini maana NDO mambo tunayo wazia
 
Unasema unamtqfuta baba yako .. humjui jina ??

Kwanini hujampata hadi Leo ukiwa mtu mzima hivyo ?? Saiv ni mda wa kutafuta baba watoto madam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom