Natafuta mume mwenye V.V.U

Natafuta mume mwenye V.V.U

aya dada wewe ni nouma,unataka mwenye ngoma mchangiane virusB]V[/B][/SIZE]ina Vikali Usipime= VVU[/QUOTE]
 
  • Thanks
Reactions: amu
kama ww hauna vina vikal usipime usijalibu kunip wala kuni call wala sms, tafadhali sina masihara sitaki kuambukiza wenzangu

how_to_draw_attention_banner.png

il_570xN.407417048_fkjl.jpg
 
hope utafanikisha....hongera kwa ujasiri wako
 
Acha uongo wewe namba zenyewe umetoa za akaunti mbona hazipatikani?

Halafu pia hili sio jukwaa la kutafutia wanaume peleka mada yako kule LOVE CONNECTION.

Na weww una Vina Vikali Usipime.
 
chezeaa ngoma wewee kila mtu anasitaa ila kuna mabarazuli hata kama unangoma lazima wakugonge so angalia
 
Ukiwa HIV positive sio Lazima utafute mwenza positive pia...muhimu upate mwenza anaejua uko positive..

Ni sawa na kuruka sarakasi kwenye transformer... moja +ve na mwingine -ve halafu najua kuwa kawaka haisimami hata papuchi iwe vp??? @
 
Una hiv? Manake mtoa mada anajinyanyapaa tu hapa
Acha uongo wewe namba zenyewe umetoa za akaunti mbona hazipatikani?

Halafu pia hili sio jukwaa la kutafutia wanaume peleka mada yako kule LOVE CONNECTION.
 
Mimi mwanamke nina miaka 31,

Natafuta mume wakunioa awe na miaka 33

Nakuendelea nina mtoto mmoja

Nahitaji mkristo awe na kazi ya kueleweka mimi

Ukiniona hauwezi kuamini mpaka nikuambie mwenyewe sijaanza kutumi dawa matusi no,

Sitaki masihara kwa alie tayari 0654872662 ,

Awe na vina vikali usipime
Naomba ufafanuzi hapo penye red,unamaanisha status au kipato?
 
Acha uongo wewe namba zenyewe umetoa za akaunti mbona hazipatikani?

Halafu pia hili sio jukwaa la kutafutia wanaume peleka mada yako kule LOVE CONNECTION.

hapa ni jukwaa la siasae?nilikua sijaangalia vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom