chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,207
- 312
nimependa ulivyochanganua nduguHaya tumekusikia nash mc.
Vina Vikali Usipime= VVU
nimependa ulivyochanganua nduguHaya tumekusikia nash mc.
Vina Vikali Usipime= VVU
Mimi mwanamke nina miaka 31,
Natafuta mume wakunioa awe na miaka 33
Nakuendelea nina mtoto mmoja
Nahitaji mkristo awe na kazi ya kueleweka mimi
Ukiniona hauwezi kuamini mpaka nikuambie mwenyewe sijaanza kutumi dawa matusi no,
Sitaki masihara kwa alie tayari 0654872662 ,
Awe na vina vikali usipime
hapa ni jukwaa la siasae?nilikua sijaangalia vizuri
nimependa ulivyochanganua ndugu
Zingatia matumizi ya mchicha au badilisha divice yako kama ni ya kichina.
Vina vya nini wakati tayari ushajiingiza ''LINE''..??Mimi mwanamke nina miaka 31,
Natafuta mume wakunioa awe na miaka 33
Nakuendelea nina mtoto mmoja
Nahitaji mkristo awe na kazi ya kueleweka mimi
Ukiniona hauwezi kuamini mpaka nikuambie mwenyewe sijaanza kutumi dawa matusi no,
Sitaki masihara kwa alie tayari 0654872662 ,
Awe na vina vikali usipime
kama ww hauna vina vikal usipime usijalibu kunip wala kuni call wala sms, tafadhali sina masihara sitaki kuambukiza wenzangu
walikuwa wanaelezea hii issue na palikuwa na couple ya mme positive na mke negative na walikuwa wameishi mda mrefu na wamezaa mtoto mmoja ambaye hakuwa na maambukizi yoyote! Kuna namna ya kuishi pindi watu kama hao wanapooana huku wakienda hospitali mara kwa mara kupata maelekezo kuhusu practice zao ili wasije ambukiza!
ma-Dr, hebu wahini huku mmeitwa! watu8, Riwa and laussane!
nimekuja na leo tena niambiePoa na kesho uje usikose tafadhali!