MITOCHONDRIA
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 147
- 34
Mungu atakusaidia utapata mtu unayemtfuta. Hawa wengine tayari wanao watu wa hari yako ila hawamjui.
Mungu atakusaidia utapata mtu unayemtfuta. Hawa wengine tayari wanao watu wa hari yako ila hawamjui.
Ni kweli asante sanaMungu atakusaidia utapata mtu unayemtfuta. Hawa wengine tayari wanao watu wa hari yako ila hawamjui.
AsantePole sana mdogo wangu. Lakini punguza vigezo basi, ukisema awe mrefu, mwembamba, maji ya kunde na mwenye kazi itabidi umtengeneze wa kwako au utachelewa sana kumpata.
Wewe tafuta tu mume mwema basi, hayo mengine ni kuingilia kazi ya muumba.
Pole sana
Sasa wewe kinachokuuma ni nini hasa?? Kuwa wazi usaidiwe!! Iwe ni ID mpya ama awe yeye ni mwenyeji humu thn kaja na ID mpya wewe kinachokuuma nini???Wewe sio mgeni ni mwenyeji, ila umefungua tu ID mpya
Hili ni swali la kitoto sana,mtu anaweza akaupata ila asijue aliupata kwa njia ipi coz kuna njia nyingi,halafu hilo sio lengo la mleta mada,ukijua kaupataje itakusaidia nini? yeye anachotafuta ni mwenza na sio kuweka wazi kaupataje hata kama itakua anajua,
Jitafakari
Mkuu sio kila anayepata hayo maradhi basi anakua aliyapata kwa njia ya kugegedana,acha kukariri.
Mkuu ule uzi wa Dajane naona mod's wameufunga!
Hao hawataweza kukupiga bumbu kisawasawa tafuta 25 mpaka 28
Weka reliable source yako inayoonyesha kua 90% ni kwa njia hiyo,
Na unaposema 90% basi kuna 10% iliyobaki ambayo si kwa njia hiyo,sasa ikawaje wewe ukamuhukumu mleta mada ikiwa kuna 10% iliyobaki ambayo si kwa njia hiyo??
Acha kumhukumu mtu usiyemjua.
Pole ndgHabari wana JF
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV.
Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management.
Natafuta mwenza wa hali yangu awe mrefu, maji ya kunde, mwembamba, awe na kazi angalau, awe mkristo, atakayenidhiria, atakayenifundisha mengi kuhusu maisha na baadaye kuwa mume na mke.
Aliye tayari karibuni na Mungu awabariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni swali la kitoto sana,mtu anaweza akaupata ila asijue aliupata kwa njia ipi coz kuna njia nyingi,halafu hilo sio lengo la mleta mada,ukijua kaupataje itakusaidia nini? yeye anachotafuta ni mwenza na sio kuweka wazi kaupataje hata kama itakua anajua,
Jitafakari
ID mpya ni kero. JamiiForums vipi hii haiwezekani mkaunga na iD yake ya zamani?!!!
Naked truth , thanx dear I appriciate youI don't believe if a human being can be cruel like this.This young lady should be appreciated for being open and honest. Most of us we don't know our status yet we are the one talking shits and I'm sure if you go today to test you will be positive and come to apologize.
Sent using Jamii Forums mobile app