Natafuta mtu wa kunishika mkono

Hello habari
Natamani kukusaidia ila kuna ukakasi kama wewe umeshindwa kuweka email yako sababu ina majina yako kwa nini mimi niweke email yangu ili utume motivational letter na CV ambayo inamajina kabisa yangu na jina la kampuni?
Best.
 
Namba yako imesajiliwa Kwa majina yako halisi
 
Hello habari
Natamani kukusaidia ila kuna ukakasi kama wewe umeshindwa kuweka email yako sababu ina majina yako kwa nini mimi niweke email yangu ili utume motivational letter na CV ambayo inamajina kabisa yangu na jina la kampuni?
Best.
Ikiwa Kuna njia utanipatia nikutumie email yangu naomba nunipatie mkuu. PM zimefungwa .

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Hello habari
Natamani kukusaidia ila kuna ukakasi kama wewe umeshindwa kuweka email yako sababu ina majina yako kwa nini mimi niweke email yangu ili utume motivational letter na CV ambayo inamajina kabisa yangu na jina la kampuni?
Best.
I can provide you with my email. Wala so shida

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana ni mkweli, hata namba labda kaisajili kwa hili tu na akipata msaada ataifunga na pia inakuwa rahisi kwani hata ukimpigia Bado hatojua ni nani aliyepiga kwa jina la Jf!
Hongera kwa kujitafutia kipato halali maana kwa huo mguu ungejiongeza Wala usingekuja hapa kutaka msaada!
 
Naomba nisikujibu.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Kama utakuwa na nafasi jaribu kupeleka Cv na kufika ofisi za kampuni za kahawa kama Cotacof,Dorman,Kijani Hai huwezi kukosa kuna ex SUA kibao wameshika vitengo.

Pia pale Tumbaku Morogoro Road kiwanda kimeanza kazi, ukienda kama umewahi pita kazi za field huwezi kukosa nafasi vitengo vya production au quality control kwa kazi za msimu.
 
Shukran kwa madini mkuu

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Nakupongeza sana kwa kujitolea kusema na kuomba kwa jamii kwa lile linalo kusumbuwa, naomba kama upo Dar ujaribu kupita humo kwenye viwanda mbali mbali vya utengenezaji wa vitu, au usindikaji wa bidhaa naamini huta kosa pakuanzia, kwamfano mbagala,kurasini, changombe nk, Mtumainie sana Mungu na kumtanguliza kwa kila hitaji lako amahakika hatakuacha utange tange bure atakupa njia iliyo bora ktk utafutaji wako. Usife moyo, usikubali kwenda kwenye mstari ambao huusadiki naamini utafanikiwa ni mapito haya wote tulipita humo humo.
 
Vipi ikitokea kazi ambayo working environment haziko favourable, lakini inaweza kukuboost, will you take it?
 
Zimefungwa tokea lini? Mbona zinafanya kazi?
 
Ahsante mkuu , nitafanyia kazi

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…