Natafuta mtu wa kunibeba UDSM main campas

kalipeni

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
1,542
1,279
Kwanza hongera kwenu vijana mliochaguliwa UDSM mlimani campas. Ila ninachopenda kuwaambia UDSM ina mazingira mazuri sn ya kusoma lakini sio kupiga usingizi kwani kubebana ni jambo la kawaida kwaiyo naomba atakaepata room main campas anibebe. Mimi ni kijana wa kiume nasoma PSPA mwaka wapili.
 
Kwanza hongera kwenu vijana mliochaguliwa UDSM mlimani campas. Ila ninachopenda kuwaambia UDSM ina mazingira mazuri sn ya kusoma lakini sio kupiga usingizi kwani kubebana ni jambo la kawaida kwaiyo naomba atakaepata room main campas anibebe. Mimi ni kijana wa kiume nasoma PSPA mwaka wapili.

campas=campus!?
 
Kwanza hongera kwenu vijana mliochaguliwa UDSM mlimani campas. Ila ninachopenda kuwaambia UDSM ina mazingira mazuri sn ya kusoma lakini sio kupiga usingizi kwani kubebana ni jambo la kawaida kwaiyo naomba atakaepata room main campas anibebe. Mimi ni kijana wa kiume nasoma PSPA mwaka wapili.
mbona me najuaga PSPA ni watu wenye akili na wapenzi wa tafakuri tunduizi....imekuaje sasa wewe.....acha woga wa maisha ww....embu nunua kitanda kwa first year au kapange....mambo gani hayo ya kubebeana....vitanda vyenyewe vikwapi vya kufanya hvo.....huko ni kuinvite tabia za kibasha......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom