muksinihamisi
Member
- May 1, 2020
- 14
- 6
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nimemaliza elimu ya secondary mwaka 2017 nashukuru nilipata ufaulu mzuri ila sikuweza kuchaguliwa hvyo kutokana na uchumi sikuweza kuendelea na masomo bali nikajiingiza kwenye ujasiliamali na kuweza kupata ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani kma vile sabuni za miche aina zote ikiwemo medicated soap aina tofauti tofaut,sabuni za maji aina zote, kama vile za kudekia (tiles cleaner) handwash,jik,shampoo nk.
Pia,utengenezaji wa mafuta ya mgando,lotion nk.Nimeshindwa kukuza hii idea kutokana na capital.Hvyo ninaomba mtu ambaye tutaweza kushare idea na kuikuza wenda tukafanys kitu kikubwa zaidi.
Pia,utengenezaji wa mafuta ya mgando,lotion nk.Nimeshindwa kukuza hii idea kutokana na capital.Hvyo ninaomba mtu ambaye tutaweza kushare idea na kuikuza wenda tukafanys kitu kikubwa zaidi.