majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 568
.......masai dada una shida ya mtoto? Huyo jamaa ameandika thread tofauti tofauti zinazotatanisha kiasi kwamba inatia shaka kama kweli ni mwanaume, mwanamke au shemale.kama unazalisha njoo tuzae wote
Tazama hapo juu Tyta amejaribu kuwek hizo post zake zenye utata.
Kama vipi anzisha thread yako ya kutafuta mtu wa kuzaa nae ili tujaze PM yako kwa maombi ya nafasi hiyo adimu lol!!