Natafuta mtama mwekundu

nyendo kintu

Member
May 31, 2011
20
2
Hallo wanajamii ninaomba mtu yeyote ambaye anaweza kunipatatia mtama mwekundu kwa kiasi cha kila derivery tani kumi anipe bei ya pale alipo kwa kilo moja. Asanteni sana kwa walio serious piga 0764312429. God bless.
 
Mkuu Mtama mwekundu unapatikana sana Mkoa wa mara wilaya ya Serengeti kule ndo chakula chao kikuaa, weka na bei kabisa tufanye biashara, Hata tani mia moja unapata,
 
Mkuu Mtama mwekundu unapatikana sana Mkoa wa mara wilaya ya Serengeti kule ndo chakula chao kikuaa, weka na bei kabisa tufanye biashara, Hata tani mia moja unapata,
kuwa serious mkuu hebu piga simu au beep tuongee bei sio kuanika hadharani hii ni biashara privacy inatakiwa
 
Back
Top Bottom