Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
Mimi nashida ya kupata mtaalam wa dawa atakayeweza kukusaidia kupata begi langu lilikua na vitu vyangu Vya msingi ambalo aliliazima Rafiki yangu akidai atalirudisha baada ya dk kumi Tu lakin mpaka sasa hajarudisha beg langu yapata miezi mitatu sasa na huu wa tisa Ni wa nne.
Naombeni msaada wenu wana jf maana kwao sipajui ila nafahamu alipokua amepanga tu napo ameshahama haelewek alipohamia simu yangu alishaiblock hata nikitumia no tofauti akisikia sauti yang tu hataki kusema wapi alipo hata nikituma SMS kwa no tofauti hajibu.
Naombeni saaana msaada wenu maana nawaza saaana kuhusu vitu vyangu huenda kaenda kufanyia mambo yake sababu kulikua na nguo pia nawaza saaana mpaka nimeamua kuwaeleza
Naombeni msaada wenu wana jf maana kwao sipajui ila nafahamu alipokua amepanga tu napo ameshahama haelewek alipohamia simu yangu alishaiblock hata nikitumia no tofauti akisikia sauti yang tu hataki kusema wapi alipo hata nikituma SMS kwa no tofauti hajibu.
Naombeni saaana msaada wenu maana nawaza saaana kuhusu vitu vyangu huenda kaenda kufanyia mambo yake sababu kulikua na nguo pia nawaza saaana mpaka nimeamua kuwaeleza