george tiru
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 200
- 147
Naombwa kujua tatizo ni nini hasa, nina gari gari chaser hasa asubuhi ukitaka toka ukiweka D au R
inachukua kama dk 5 ndio inaanza kuondoka, nimebadilisha ATF lakini bdo tatizo linaendellea, mwenye experience nazo anipe angalau cha kufanya.
inachukua kama dk 5 ndio inaanza kuondoka, nimebadilisha ATF lakini bdo tatizo linaendellea, mwenye experience nazo anipe angalau cha kufanya.