Natafuta msichana wa kuzaa nae mtoto

Natafuta msichana wa kuzaa nae mtoto

MtuFulani8

Member
Joined
Jun 27, 2015
Posts
92
Reaction score
21
Natafuta mtu wa kuzaa naye mtoto! Huduma zote nitatoa! Mimi ni wa kiume. Serious
 
Umeoa???ukimpata utamlipa sh ngapi??benefits...
Weka mkataba vizuri....maana sijakusoma
 
Umeoa???ukimpata utamlipa sh ngapi??benefits...
Weka mkataba vizuri....maana sijakusoma

Sijaoa ndo maana nikatangaza hapa jamvini! Lengo hasa nimpate mwenye uhitaji kama wangu!
 
Huduma zote kama zipi? mama akifa wkt wa kujifungua? Sijazaa lkn kukuzalia wewe hapanaa uwenda ukawa unatafuta kafaraa maana siku hizi hamchelewiii kujiunga kule nakosikia sasa sijui ni kweli panafanyaga kazi au maneno mbofuumboofuuu ya watu!
 
Huduma zote kama zipi? mama akifa wkt wa kujifungua? Sijazaa lkn kukuzalia wewe hapanaa uwenda ukawa unatafuta kafaraa maana siku hizi hamchelewiii kujiunga kule nakosikia sasa sijui ni kweli panafanyaga kazi au maneno mbofuumboofuuu ya watu!

Huduma muhimu ktk kipindi cha miezi 9,na malezi ya mtoto! Na akimlea vizuri pia anaweza kuolewa! Lkn kama itaonekana inafaa!!
 
jamaa anahitaji mtoto na hatak mke...!!!!
nikuulize mtoa mada ni kwann unataka mtoto na hutak mke...!!???
una plan gan na huyo mtoto au ndo masharti ya mganga..!!!
 
jamaa anahitaji mtoto na hatak mke...!!!!
nikuulize mtoa mada ni kwann unataka mtoto na hutak mke...!!???
una plan gan na huyo mtoto au ndo masharti ya mganga..!!!

Hapo hakuna issue za mganga wala nn! Mm sihitaji mke kwa sababu sitaki kuoa_! Sitaki stress!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom