Natafuta msichana wa kazi za ndani

Natafuta msichana wa kazi za ndani

Niko Dar, naishi na mtoto wa nursery anajielewa. Naitaji mdada mwaminifu wa kua msaidizi wa kazi za ndani na kumuandaa mtoto asubuhi aende shule.

Mara nyingi ni mtu atakayebaki na mtoto na nyumba kutokana na kazi zangu. Nahitaji mdada mwaminifu.

Kwa yeyote mwenye kufahamu mtu anayeitaji nijulishe popote mkoani ntatuma nauli.

Mshahara 40,000
Habari je umepata mfanyakazi pls Nipigie kwa number kama haujapata 0676019019 nina msichana mwenye mtoto anataka kazi faster
 
Utaibiwa humu kumekengeukaaa!!KIM2 na fake id's ndio anatawala ukitoa uzi wa namna hiyo!utatapeliwa kwa kuombwa hata nauli ya elfu 2 uitume ndio utaingia mkenge,mtu kama Hombolo,hunyu,kim2 na wengineo wallahi kaa mbali bora mtoto wako umuweke nyumba ya jirani kuliko kusaka Jf maid!KIM2 ni jambazi lisilotumia silaha
 
Habr....Nataft kaz ya ndan...Lkn Icwe ya kuingia kila ck....Pia Icwe ya kulala...Anaehtaj antaft ....Namba yang n 0659449374
 
Habr....Nataft kaz ya ndan...Lkn Icwe ya kuingia kila ck....Pia Icwe ya kulala...Anaehtaj antaft ....Namba yang n 0659449374

Sidhani kama utapata wateja kwa jinsi ulivyojipangia namna ya ufanyaji kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom