Natafuta msichana mzuri km erotica nioe!

Natafuta msichana mzuri km erotica nioe!

FLEX

Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21
Reaction score
1
Mi ni kijana rijali,natafuta msichana ili tukielewana awe mke wangu wa ndoa, awe mkristo,mzuri,co wa kichina, muelewa na mvumilivu katika maisha! Ni haya tu wanajamii, atakayependezwa naomba ani PM, ucku mwema!
 
kama kweli unamtafuta kama mimi basi namjibia.

Hayuko tayari kuolewa, labda awe sio kama Erotica.

Ila sifa zote hizo ninazo na zaidi ya hapo teh teh teh.
 
kama kweli unamtafuta kama mimi basi namjibia.

Hayuko tayari kuolewa, labda awe sio kama Erotica.

Ila sifa zote hizo ninazo na zaidi ya hapo teh teh teh.

Hahahah........maana yake ni kwamba, anakutaka wewe!!!
 
Hahahah........maana yake ni kwamba, anakutaka wewe!!!

Ukimuona mwenzio vinyozi wanamnasihi anyolewe!
Zako kuta unaziandalia maji!
Hata hivyo hujambo?
Sijakutia kwa mboni leo sijui ya ngapi !
 
kama kweli unamtafuta kama mimi basi namjibia.

Hayuko tayari kuolewa, labda awe sio kama Erotica.

Ila sifa zote hizo ninazo na zaidi ya hapo teh teh teh.

mh? Haya bana
 
wewe style zake utaziweza? Hujasikia mwenzio kimepata accident na mwezi mzima kinatundikiwa drip, wewe si ndo utageuka tasa kabisa
 
Ukimuona mwenzio vinyozi wanamnasihi anyolewe!
Zako kuta unaziandalia maji!
Hata hivyo hujambo?
Sijakutia kwa mboni leo sijui ya ngapi !

Judgement kwa kauli hii unamaanisha nawewe unajiandaa kupeleka proposal kwa Kipipi...
 
Last edited by a moderator:
Hukumu, siku hizi ukiona mwenzio ananyolewa unamwagia zako nusu lita ya olive oil afu unavaa sungoggles! Mjini kubanana, eboo!
Ukimuona mwenzio vinyozi wanamnasihi anyolewe!
Zako kuta unaziandalia maji!
 
Mi ni kijana rijali,natafuta msichana ili tukielewana awe mke wangu wa ndoa, awe mkristo,mzuri,co wa kichina, muelewa na mvumilivu katika maisha! Ni haya tu wanajamii, atakayependezwa naomba ani PM, ucku mwema!

kumbe boss una hasara mwananamke wa kuoa huwa hatuangalii uzur wa sura tu! we erotica unamjua tabia zake mpaka umtake haya sasa tabia zake ndo hizo anasema yeye sio mtu wa kuolewa ni wale wa kuonja tu na kukimbia, acha kutafuta wanawake kwenye mitandao utakuja ondoka na changudoa
 
Dogo mwanaume hajisifii. Angalia JF kuna mabasha kibao. Shauri zako.

What a comment, Asprin?
Kijana asipoangalia anaweza akajikuta analiwa kisamvu cha kopo... Ohoo?
 
Last edited by a moderator:
Hahahah........maana yake ni kwamba, anakutaka wewe!!!

Kweli kabisa Kipipi. Mtoa mada kazunguka kijanja lakini nia yake hasa anamtaka Erotica.
Erotica wasemaje hapo? Upo tayari?
































k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom