ndongandonga
New Member
- Dec 19, 2019
- 4
- 4
kwema wakuu, nahitaj mshenga mwenye uzoefu wa hayo mambo.. Mtonyo wa mafuta upo. karibu DM
Ukishajua kazi ya mshenga na mila za hao unakotaka kua inatosha 'muulize mchumba wako taratibu zikoje''kwema wakuu, nahitaj mshenga mwenye uzoefu wa hayo mambo.. Mtonyo wa mafuta upo. karibu DM
Watekaji ndio mmekuja kivingine ?kwema wakuu, nahitaj mshenga mwenye uzoefu wa hayo mambo.. Mtonyo wa mafuta upo. karibu DM
Duh kweli mabaharia wakiamua ubaharia hakuna wakuwazuiaWewe utakuwa unataka kuingiza watu mkenge, kuna kipindi nipo Arusha kuna jamaa nilifahamiana naye kwa kipindi kifupi sana,
Sasa akaniomba niwe mshenga kwa binti flani ambaye nilikuwa nafahamiana naye na mimi nikakubali,
Jamaa kumbe hakua na nia ya kuoa, kumbe jamaa alikuwa amemtongoza huyo binti na alikuwa amemkatalia.
Mimi na jamaa zangu wengine tukajitosa kwa Baba wa binti kupeleka posa baada ya mashauriano marefu sana na hadi binti aliitwa akashangaa sana kuhusu hiyo posa kwani alieleza kwamba kweli huyo kaka alishamfata akamkatalia hata hiyo posa hajaambiwa kama italetwa.
ila kwa ushawishi wetu mkubwa na heshima yetu posa ilikubaliwa. sasabana baada ya posa kukubaliwa jamaa akawa anamchukua binti anatoka naye kama mchumba wake.weekend binti anakwenda kushinda nyumbani kwa huyo jamaa inavyoonekana na mzigo alikuwa anakula.
Baada ya mwezi 1 jamaa si akapotea yaani halafu tulikuwa hatujui hata kwao wala ndugu yake hata mmoja mi aliniambiaa ametokea mbeya kaja arusha kutafuta maisha.
Binti nadhani baada ya kumkosa mchumba wake alitoa taarifa kwa wazazi wake ambao wakanitafuta mimi mshenga
Nilipigwa maswali ya kufa mtu kijana yupo wapi majibu sina yaani ikaonekana na mimi mshenga nilicheza dili kupeleka posa ya uongo ili kumsaidia jamaa ale mzio kilaini wakati hakua na nia ya kuoa.
Yaani sintosahau huo upuudhi kwani sikutegemea kabisa nilijua jamaa ana nia kweli ya kumuoa huyo binti.
huyo jamaa sijawahi onana naye tena .
Thanks huyo binti alishaolewa na mtu mwingine.
Kwa hiyo we jamaa kwa nini utake kutafuta mshenga huku JF usitafute ndugu zako au wazee wa heshima majirani zako unataka umfanyie mchezo kama huo nini?
Baharia ni baharia tu
akili zako hazitoshi kukaa na mwanamke kama mkekwema wakuu, nahitaj mshenga mwenye uzoefu wa hayo mambo.. Mtonyo wa mafuta upo. karibu DM
Mshenga JF? Em kua serious mkuukwema wakuu, nahitaj mshenga mwenye uzoefu wa hayo mambo.. Mtonyo wa mafuta upo. karibu DM
Baharia Aishiwi Mbinu za kuchakata kiwanda cha kufyatua WatotoWewe utakuwa unataka kuingiza watu mkenge, kuna kipindi nipo Arusha kuna jamaa nilifahamiana naye kwa kipindi kifupi sana,
Sasa akaniomba niwe mshenga kwa binti flani ambaye nilikuwa nafahamiana naye na mimi nikakubali,
Jamaa kumbe hakua na nia ya kuoa, kumbe jamaa alikuwa amemtongoza huyo binti na alikuwa amemkatalia.
Mimi na jamaa zangu wengine tukajitosa kwa Baba wa binti kupeleka posa baada ya mashauriano marefu sana na hadi binti aliitwa akashangaa sana kuhusu hiyo posa kwani alieleza kwamba kweli huyo kaka alishamfata akamkatalia hata hiyo posa hajaambiwa kama italetwa.
ila kwa ushawishi wetu mkubwa na heshima yetu posa ilikubaliwa. sasabana baada ya posa kukubaliwa jamaa akawa anamchukua binti anatoka naye kama mchumba wake.weekend binti anakwenda kushinda nyumbani kwa huyo jamaa inavyoonekana na mzigo alikuwa anakula.
Baada ya mwezi 1 jamaa si akapotea yaani halafu tulikuwa hatujui hata kwao wala ndugu yake hata mmoja mi aliniambiaa ametokea mbeya kaja arusha kutafuta maisha.
Binti nadhani baada ya kumkosa mchumba wake alitoa taarifa kwa wazazi wake ambao wakanitafuta mimi mshenga
Nilipigwa maswali ya kufa mtu kijana yupo wapi majibu sina yaani ikaonekana na mimi mshenga nilicheza dili kupeleka posa ya uongo ili kumsaidia jamaa ale mzio kilaini wakati hakua na nia ya kuoa.
Yaani sintosahau huo upuudhi kwani sikutegemea kabisa nilijua jamaa ana nia kweli ya kumuoa huyo binti.
huyo jamaa sijawahi onana naye tena .
Thanks huyo binti alishaolewa na mtu mwingine.
Kwa hiyo we jamaa kwa nini utake kutafuta mshenga huku JF usitafute ndugu zako au wazee wa heshima majirani zako unataka umfanyie mchezo kama huo nini?
Wewe utakuwa unataka kuingiza watu mkenge, kuna kipindi nipo Arusha kuna jamaa nilifahamiana naye kwa kipindi kifupi sana,
Sasa akaniomba niwe mshenga kwa binti flani ambaye nilikuwa nafahamiana naye na mimi nikakubali,
Jamaa kumbe hakua na nia ya kuoa, kumbe jamaa alikuwa amemtongoza huyo binti na alikuwa amemkatalia.
Mimi na jamaa zangu wengine tukajitosa kwa Baba wa binti kupeleka posa baada ya mashauriano marefu sana na hadi binti aliitwa akashangaa sana kuhusu hiyo posa kwani alieleza kwamba kweli huyo kaka alishamfata akamkatalia hata hiyo posa hajaambiwa kama italetwa.
ila kwa ushawishi wetu mkubwa na heshima yetu posa ilikubaliwa. sasabana baada ya posa kukubaliwa jamaa akawa anamchukua binti anatoka naye kama mchumba wake.weekend binti anakwenda kushinda nyumbani kwa huyo jamaa inavyoonekana na mzigo alikuwa anakula.
Baada ya mwezi 1 jamaa si akapotea yaani halafu tulikuwa hatujui hata kwao wala ndugu yake hata mmoja mi aliniambiaa ametokea mbeya kaja arusha kutafuta maisha.
Binti nadhani baada ya kumkosa mchumba wake alitoa taarifa kwa wazazi wake ambao wakanitafuta mimi mshenga
Nilipigwa maswali ya kufa mtu kijana yupo wapi majibu sina yaani ikaonekana na mimi mshenga nilicheza dili kupeleka posa ya uongo ili kumsaidia jamaa ale mzio kilaini wakati hakua na nia ya kuoa.
Yaani sintosahau huo upuudhi kwani sikutegemea kabisa nilijua jamaa ana nia kweli ya kumuoa huyo binti.
huyo jamaa sijawahi onana naye tena .
Thanks huyo binti alishaolewa na mtu mwingine.
Kwa hiyo we jamaa kwa nini utake kutafuta mshenga huku JF usitafute ndugu zako au wazee wa heshima majirani zako unataka umfanyie mchezo kama huo nini?