Natafuta mrembo wa kuishi naye

Natafuta mrembo wa kuishi naye

Excel usiwe mwepesi wa kufikilia haraka haraka,haraka haraka haina baraka.

kaone sasa!!

hujui hata ku-quote wala ku-mention! ungekaa kwanza hata miezi minne ndo utake wake na wachumba... you will faint here!
 
Not only completed, but awarded form four leaving certificate
hapa kuepuka udanganyifu anaeza kuwa std 7 afu akudanganye bure!!!

ni kweli, kuna kijana aliniambia alisoma chuo kikuu hadi mwaka aliosoma, kumbe ali-disco aisee!
 
Nakaribisha maombi ya uchumba,awe tiari kupima HIV/AIDS.Level of education, atleast she has completed form four.

Mimi tiari nimeshapima kwani kuna ulazima wa kupima tena?? Halafu level of education nimemaliza darasa la 8 Kenya.

Je nina qualify???
 
Mimi tiari nimeshapima kwani kuna ulazima wa kupima tena?? Halafu level of education nimemaliza darasa la 8 Kenya.

Je nina qualify???

weito! kana nke wabha?

obhorisya bhuno nobhokangi!!
 
umeliona hilo eeh! sentensi yote ni utata mtupu. angesema tu awe na elimu ya sekondari
venine umempenda mshkaji au?

msaidieni bana apunguze hasira za valentine..! hivi unajua kuwa kuna watu walishinda ndani wanahesabu migongo ya mabati siku ya valentine?
 
Last edited by a moderator:
venine umempenda mshkaji au?

msaidieni bana apunguze hasira za valentine..! hivi unajua kuwa kuna watu walishinda ndani wanahesabu migongo ya mabati siku ya valentine?

Kumpenda??? No! mwenyewe kasema kamaliza vidato vyote 14 na kwa sasa anatafuta utaalamu. sasa mimi na mtoto mwanachuo wapi na wapi? bado kijana sana huyo
 
Warembo kazi kwenu siku hizi hta madomo zege wanapata wrembo wakali tu
 
Kumpenda??? No! mwenyewe kasema kamaliza vidato vyote 14 na kwa sasa anatafuta utaalamu. sasa mimi na mtoto mwanachuo wapi na wapi? bado kijana sana huyo

kwa hiyo huwezi kumfundisha si ndio?

jamani wahurumieni hawa..!

wahurumieni ng'ombe, mbuzi, kuku, bata, na vifaranga jamani!

kueni nao hivyo hivyo!
 
mtu anaishi rum moja self confuse, labda niibe viberiti

angalia kwanza usawa kwanza kabla hajataka mgegedo bana!!!

nenda kwanza eneo la tukio uone..!

next time nenda na gari ya vyombo!
 
Back
Top Bottom