ha ha ha ha
kwa hiyo huwezi kumfundisha si ndio?
jamani wahurumieni hawa..!
wahurumieni ng'ombe, mbuzi, kuku, bata, na vifaranga jamani!
kueni nao hivyo hivyo!
wapo size yao humu jamvini, vijana wenzao. watakuja tu.
Fursa naitamani tatizo sio mrembo aaargh
kwani wewe ukoje sweetness?
Hiki cheti sijawahi kisikia,halafu unasema umemaliza madarasa yote 14,hapa kuna walakini
she must has living certificate
Sasa swali gani hilo???? Kwani wewe hujui asiyekuwa mrembo yupoje????
jamani nimekumiss sweetness..!
achilia mbali hilo swala bana!
Not only completed, but awarded form four leaving certificate
hapa kuepuka udanganyifu anaeza kuwa std 7 afu akudanganye bure!!!
Ulipotelea wapi na wewe sasa mana nakumiss hadi naumwa
hahahaaaa...