DR.CYPRIAN
Senior Member
- Sep 3, 2013
- 152
- 68
Instagram.....jina gan wa2mia????
yaani hiyo picha yako na hicho kibanda ulichojistiria humo ni tosha kukuelewa ww ni wa type gani..Una uhakika n unachokiongea? Hivi n uchizi gan uweke picha ya mtu, sema lingine
Kaka kingereza achana nacho, sasa hapo umeandika ninihi issabella am leaving upanga dsm" I accept ur request come to me now" pm
Wewe muongo, acha kusumbua watu,Hi wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.
Mwenye sifa hizo anifollow pm
Ni ajabu la karnee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwa shape hii hatakiwi kutafuta anatafutwa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaha bora angeandika kiswahili tuKaka kingereza achana nacho, sasa hapo umeandika nini
sasa atajifunzaje kama haandiki akakoseaHahahaha bora angeandika kiswahili tu
Yupi huyoMimi nilimtafuta na tukaonana lakini tatizo nilipoteza cm bas tangu hapo hanitaki tena
Duh mkuu hongera, sasa kwanini hataki kuwasiliana na wewe tenaHuyo Isabella
Sifa zote ulizotaja ninazo na vigezo ninavyo najiamini!Hi wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.
Mwenye sifa hizo anifollow pm