Siku ambayo nlipoteza cm nlikua nahamisha vitu kutoka nyumbani kwenda nlikopata chumba hivyo cm ikapotea nakumbuka siku hio aliniomba kiasi cha pesa kutokana na cm kupotea nkashindwa kumtumia kwakua namba ilikua kwenye cm baada ya kupata cm nkaingia jf kwenye pm yangu na kuchukua namba yake na kumtafta chaajabu hakutaka kunielewa tena na kunambia mimi mwongo na hanitaki tena
Hakuwa na mapenzi na wewe, alikuwa anatafuta pesa tu huyo, ndo mwenye picha hapo profile