kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,976
- 7,299
Nasubiri mrejesho wa hao watakaofanikiwa kuonana na wewe face to face, na wakute sio huyo wa kwenye avarta yako.
Nakuja PM tuyajengeHi wapendwa,
Natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafanya kazi na mwenye mapenzi ya kweli na si kudanganyana.
Mwenye sifa hizo anifollow pm
Mkuu hautanii...kwa hii operesheni ya kamanda Sirro haya tuyategemee sana humu...hiyo ni mikakati mipya ya kuendelea kuwepo...haahaaa natania tu...kila la heri
Masha Allah..Una uhakika n unachokiongea? Hivi n uchizi gan uweke picha ya mtu, sema lingine
Hahahaaaa.. Umeona mbaliDoh... Kamanda Sirro anafanya mambo yaanze kwenda to the 'next level' nahisi sasa hivi hii ndo njia pekee ya kupata zile huduma zetu baada ya soko kuyumba katika maeneo yetu yale...
(sinza/buguruni/TMK/mbagala)
Acha nichangamkie fursa mida inaruhusu kabisaa...![]()
![]()
![]()
Aiseee nimeamini, umejaaaaliwa neema za alah (In sheikh kipozeo voice)Follow me Facebook, Issabella Mohamed OK, xtk kubishan n ww
nice shape...
Mhhh...nimekushtukia.Magufuli ndo umesababisha yote haya.Jaman ngoja niwekw waz hivi namtak mwanaume anaetok dar n si pengine n pia awe tayari kupima HIV,
Yake au ya avatar yake..?nice shape...