Wewe haumo ktk matakwa alio yatajaUmejuaje
Hahahahahaha kwahyo anaweza kuwa me anatafuta mchumba mwenye kazkuwa makini humu kuna wanaume wanajidai wanawake na wanawake wanajidai wanaume
NEVER TAKE JF SERIOUS
Nmekupm lakin naona hujajib...Bado sijampata naona wote wanaleta utani kweli
Yaani wewe ndio unaleta utani, watu tumetuma pm za kutosha lakini huzijibu, what kind of serious are you talking about?Bado sijampata naona wote wanaleta utani kweli
Mhhhhh!!!!!.... Arusha.Umebadilisha jina wewe ni miss arusha nakufahamu sana
We kazi unayo??? Au ndiyo kupe kwa kutumia chiu yako ule bila jashoooo!Hii wapendw, natafuta mwanaume mweny sifa zifuatazo; Awe muislam, umri miaka 23-35, awe anafany kazi n mweny mapenzi ya kweli na si kudanganyana. Mweny sifa hizo anifollow pm
