nina miaka 28
chubby 80kgs
urefu wangu 160cm
maji ya kunde
nimeajiriwa na NGO
napenda mzee kuanzia miaka 50-60 ambaye hana mke(mjane) awe na watoto wakubwa na wajukuu pia ni sawa tuu, kawe kanene kafupi, au mwembamba mrefu mweusi mweupe maji kunde vyovyote tuu sawa kwangu
napenda tufurahie maisha pamoja, nimpikie, nisali nae, tuongee maisha na kufurahia pamoja
karibuni sana...
NB kupima afya muhimu!!!!
Unaonekana hujali afya yako. Siku ukidondoka ghafla, watu wasiseme ulirogwa
Nothing is impossible to the willing heart baby girl. Usikate tamaa,
Yanatafutwa mabuzi ya kuchunwa kiulaini.
Unatafuta wa kufa nae au?
Hebu tupe feedback, ushapata hilo libabu?
bado sijafanikiwa
kuna libabu lipo huku mpwapwa, ngoja nimwambie ajiunge jf aku Pm.
Yule Mtangazaji wetu wa BBC Swahili huwa anaingia humu jiweke weke vizuri anaweza akajipima...Wataka kulelewa? na hiyo age group hawaingii humu
ha ha haaaUnatafuta wa kufa nae au?
Yule Mtangazaji wetu wa BBC Swahili huwa anaingia humu jiweke weke vizuri anaweza akajipima...
Mimi nina bahati mbaya kwani nimetimiza 61 last august mwaka uliopita oi
Nimeshaelewa kwanini mkwe_re huwakamateni kirahisi sana kwani naye yumo kwenye age hizi kama sikosei
Kuna Rafiki yangu anaitwa Masudi Sura Mbaya Nimemuelezea kasema anakuhitaji kwa sana kwani vigezo vyote anavyo Tatizo kuingia kwenye PC hawezi Hebu ni PM namba yako nimuunganishe kwako
urithi wa nini wakati najiweza sana tuuuusema unataka urithi acha kuzungukia mbali;