Natafuta mpenzi wa miaka 50-60

nina miaka 28
chubby 80kgs
urefu wangu 160cm

maji ya kunde
nimeajiriwa na NGO
napenda mzee kuanzia miaka 50-60 ambaye hana mke(mjane) awe na watoto wakubwa na wajukuu pia ni sawa tuu, kawe kanene kafupi, au mwembamba mrefu mweusi mweupe maji kunde vyovyote tuu sawa kwangu
napenda tufurahie maisha pamoja, nimpikie, nisali nae, tuongee maisha na kufurahia pamoja
karibuni sana...
NB kupima afya muhimu!!!!

Unaonekana hujali afya yako. Siku ukidondoka ghafla, watu wasiseme ulirogwa
 
Unaonekana hujali afya yako. Siku ukidondoka ghafla, watu wasiseme ulirogwa

i exercise like everyday i alredy lost 5kgs,, i check my blood pressure and its within normal range,, am not diabetic,,, then how can you judge??? i have been honest mtu asifikiri mie kiportable bt i am definately working on my health,,,,,cheers!!!
 
Wataka kulelewa? na hiyo age group hawaingii humu
Yule Mtangazaji wetu wa BBC Swahili huwa anaingia humu jiweke weke vizuri anaweza akajipima...

Mimi nina bahati mbaya kwani nimetimiza 61 last august mwaka uliopita oi

Nimeshaelewa kwanini mkwe_re huwakamateni kirahisi sana kwani naye yumo kwenye age hizi kama sikosei
 
Kuna Rafiki yangu anaitwa Masudi Sura Mbaya Nimemuelezea kasema anakuhitaji kwa sana kwani vigezo vyote anavyo Tatizo kuingia kwenye PC hawezi Hebu ni PM namba yako nimuunganishe kwako
 
Yule Mtangazaji wetu wa BBC Swahili huwa anaingia humu jiweke weke vizuri anaweza akajipima...

Mimi nina bahati mbaya kwani nimetimiza 61 last august mwaka uliopita oi

Nimeshaelewa kwanini mkwe_re huwakamateni kirahisi sana kwani naye yumo kwenye age hizi kama sikosei

Duduwasha haujaenda mbali sana kama una vigezo tuwasiliane basi.... nahuyo ulomtaja ndo nani?? ani pm kama ana vigezoo
 
Kuna Rafiki yangu anaitwa Masudi Sura Mbaya Nimemuelezea kasema anakuhitaji kwa sana kwani vigezo vyote anavyo Tatizo kuingia kwenye PC hawezi Hebu ni PM namba yako nimuunganishe kwako

duduwasha asante ntakutafa ila hilo jin lake ni tata teh teh teh teh!!!!!!!!
 
mtafute kingunge ngwambaru nadahani atakufaa namba yake tafuta kwenye kitabu cha t c c l
 
Back
Top Bottom