Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote anaetaka kuwa mme pia ningetamani aje tuyajenge. Awe na sifa zifuatazo;
Awe mkristo;
Awe na umri kuanzia miaka 31 had 40;
Awe na shughuri yoyote yenye kumuingizia kipato;
Awe anajua walau kusoma na kuandika;
Asiwe muongeaji sana;
Asiwe na mke;
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.
HAHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAH MSIMPE WAKATI MGUMU KATOA MASHART MALAINIIIIII WEWE TU ANGALAU BASI UJUE KUSOMA NA KUANDIAKA
AISEE BABA JES AKIKUSIKIA SHAURI LAKO