Natafuta mme

Natafuta mme

Dogo umri wako bado mdogo unaweza kupata mwanaume ata asie na mtoto. Omba Mungu mme wako yupo anakusubiri. Omba akufunulie.
 
Mkuu umenichekesha sana! Huo umri unaunaodai umeenda umeendaje? Rejea post yangu uone umri wangu!. Nimeona ndugu zangu wameoana bila kujal level ya elimu na wanaishi maisha yenye furaha sana hata zaidi ya hao wanaojali level kubwa ya elimu. Mtu anaejielewa sio lazima awe kasoma sana.

Ua4

Member, 44
Ua4 was last seen:
Today at 12:02 PM
  • About
    Birthday:
    Jan 31, 1972 (Age: 44)!!!!!!!!!!!!!!!!!!.........................???????????????????? Kikongwe wahedi.....
 

Ua4

Member, 44
Ua4 was last seen:
Today at 12:02 PM
  • About
    Birthday:
    Jan 31, 1972 (Age: 44)!!!!!!!!!!!!!!!!!!.........................???????????????????? Kikongwe wahedi.....
Wewe hii isikusumbue, mi nishakuambia kwenye post nina miaka 27, hiyo ni kwaajili ya kuficha mambo fulani fulani. Wee kama uko interestendi ungekuja PM labda tungeyajenga, tatizo umechelewa chelewa hapo mpaka mambo yameiva yamepakuliwa!
 
Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote anaetaka kuwa mme pia ningetamani aje tuyajenge. Awe na sifa zifuatazo;
Awe mkristo;
Awe na umri kuanzia miaka 31 had 40;
Awe na shughuri yoyote yenye kumuingizia kipato;
Awe anajua walau kusoma na kuandika;
Asiwe muongeaji sana;
Asiwe na mke;
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.
Baba yake na huyo dogo alikufa au yuko hai??
 
Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote anaetaka kuwa mme pia ningetamani aje tuyajenge. Awe na sifa zifuatazo;
Awe mkristo;
Awe na umri kuanzia miaka 31 had 40;
Awe na shughuri yoyote yenye kumuingizia kipato;
Awe anajua walau kusoma na kuandika;
Asiwe muongeaji sana;
Asiwe na mke;
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.
uko serious kaka?
 
Mie naomba hizi thread za kuomba mke/mume ziunganishwe zote kwa pamoja iwe sticky,kila anaetaka anam Pm anaempenda baasi
 
Kama kweri unaitaji Mme basi Mimi nipo maana nilisha post naitaji mke kama vigezo vyako
 
Unamtafuta mtu wa kumfanya HESLB. Nakuombea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom