Natafuta mme

Natafuta mme

Ushaona umeshaboronga chuoni sasa unatafuta kichaka cha kujifichiae? Ulikuwa unasomea kupata mume au kazi? Unataka mume mwenye kipato kwanini wewe hujafikiri kutafuta kipato kwanza unatafuta mume? Mbona umejirahisisha hivyo ni mzima kweli?
Mkuu jaribu kuacha mawazo chakavu, mtu kutaka kuolewa sio kwamba kaboronga chuoni, mi nadhani mme ni jambo heri tu. Harafu nimesema nataka mtu mwenye kujipatia kipato chake.
 
Nakuhitaji Mpenzi wangu nakuhitaji... Njoo kwangu utakacho mimi nitakupa... Utanipa... Isngu we ngubule...
 
Na bado wanaume wamekua mgodi unaotembea sasa.......by the way hakuna mwanaume sasa hivi atakuoa kama na wewe hauna shughuli bora umalize chuo upate na wewe shughuli kwanza japo kaumri ndio kanafifia hako
 
Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote anaetaka kuwa mme pia ningetamani aje tuyajenge. Awe na sifa zifuatazo;
Awe mkristo;
Awe na umri kuanzia miaka 31 had 40;
Awe na shughuri yoyote yenye kumuingizia kipato;
Awe anajua walau kusoma na kuandika;
Asiwe muongeaji sana;
Asiwe na mke;
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.
weka namba yako ya simu tukupigie fastaa!
 
Na bado wanaume wamekua mgodi unaotembea sasa.......by the way hakuna mwanaume sasa hivi atakuoa kama na wewe hauna shughuli bora umalize chuo upate na wewe shughuli kwanza japo kaumri ndio kanafifia hako
Jamani weye acha kumkatisha tamaa mwenzio bana
 
Utanikubali Kama huyu alivyo mkubali huyo maaana mi nakuwa mfupi zaidi ya hapo
 

Attachments

  • 1473192892346.jpg
    1473192892346.jpg
    52.4 KB · Views: 65
mwanamke akitangaza kutafuta mume ni sawa na kutomtongoza mwanaume,je dada unayafahamu madhara ya mwanamke kuanza kumuhitaji mwanamke kabla ya mwanaume kumhitaji mke?
mimi nafahamu zifuatazo
1.Hatokujali,kukuthamini wala kukuheshimu kwa kuwa [HASHTAG]#hukuwa[/HASHTAG] chaguo lake bali wewe ulimuona mwanaume ndiyo chaguo lako.
2.Atakunyanyasa na kukufuja haraka mno kwa kuwa anaamini bado ana nafasi nyingine nje ya wewe
3.Hatuona kazi kukusaliti kwa kuwa anaamini huwezi kuchomoka kwake na hata ukichomoka inakuwa hajalose chochote
4.Anaweza akakosea na asikuombe msamaha wakati wote wa ndoa yenu.
5.Atakuchoka kwa haraka sana na kujiona SHUJAA
References: mwanaume yeyote ambaye alishawahi kutongozwa atuambie namna alivyokuwa akiishi na binti huyo na mwanamke pia ambaye amewahi kumtongoza mwanaume naye atuambie waliishi vipi,na ndipo tutafahamu mengi zaidi.
UJUMBE: mwanaume mzuri na atakaye kupenda ni yule ALIKUFUATA MSICHANA NA SIO YULE ULIMFUATA nashauri tu.

NB: WAPO WACHACHE AMBAO WANA HEKIMA NA BUSARA KATIKA HILO.
TANGU UMEANZA KUJIBIWA INAONESHA WAZI KUWA HUMU JF HAWAPO HATA MIMI SIFAI
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Tangazo lako halijakamilika em tuwekee picha yako kuanzia kifuan kuja chini..alafu umetumia kigezo gani kusema umri miaka 31-40?
 
Bila shaka atakua umekula ada wew ndio maana unatafuta mtu wa kukufadhili
 
Mkuu jaribu kuacha mawazo chakavu, mtu kutaka kuolewa sio kwamba kaboronga chuoni, mi nadhani mme ni jambo heri tu. Harafu nimesema nataka mtu mwenye kujipatia kipato chake.
Nini maana ya kusoma, unasoma ili uwe na maisha mazuri kupitia elimu uliyoipigania, sasa baada ya kuipata hiyo elimu mtu anatakiwa kutafuta kazi kwanza au kuolewa kwanza. Acha mawazo mfu.
 
Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote anaetaka kuwa mme pia ningetamani aje tuyajenge. Awe na sifa zifuatazo;
Awe mkristo;
Awe na umri kuanzia miaka 31 had 40;
Awe na shughuri yoyote yenye kumuingizia kipato;
Awe anajua walau kusoma na kuandika;
Asiwe muongeaji sana;
Asiwe na mke;
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.
Futa kigezo cha kusoma na kuandika.Icho kigezo peleka Facebook.JF Ni Home ya Great Thinkers

Jalibu kujielezea pia na wewe ulivyo na utuambie kwa nini vijana awakufati apo chuo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom