g click
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 2,427
- 510
Mimi niko tayari ila hanijibu
labda wengine anawakata mkuu
Mimi niko tayari ila hanijibu
Huyo msabato gani wa kutafuta wachumba kwenye mitandao? Ukikutana nae anatoka kanisani ukamuomba uchumba ana dashi eti nisha chumbiwa tayari na mahali isha tolewa baadae akishika simu anabandika tangazo eti natafuta mchumba
Mchumba wa love connect? Utafanywa mchepuko cheza uone!
Sihitaji mme jamani, nilikuwa nafanya utafiti na sasa umekamilika,
Asante kwa wote mlokuja PM.
Sihitaji mme jamani, nilikuwa nafanya utafiti na sasa umekamilika,
Asante kwa wote mlokuja PM.
wasabato ni wabaguzi wa kidini sana, mtaishia kuzalishwa au kuolewa na wasabato wenzenu bila kuwa na love
Sihitaji mme jamani, nilikuwa nafanya utafiti na sasa umekamilika,
Asante kwa wote mlokuja PM.