Jaman wana jf... natafuta mlinzi wa nyumba.... kutoka campuni yyte hapa dar.... naomba km kuna anaewajua....anipe mwongozo....
Mengi ya haya makampuni madogo inagharimu kati 250k-300k kwa mlinzi mmoja
Afu kinachouma mlinz analipwa kuanzia 20000 hadi 70000 kwa mwezi
hakuna kazi ngumu kama ya mlinzi,alitakiwa alipwe hata kuanzia laki 5 hivi. Anaweka rehani maisha,usingizi na hata ndoto yake kwa malipo kidogo namna hii.majambazi wakija ndie wa kwanza kumalizwa.poleni walinzi.
una uhakika?
wewe ni mlinzi?