Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Wana JF
Ninaamini wote tutakubaliana ya kwamba moja kati ya changamoto inayomkabili mjasiriamali ni chanzo cha fedha katika kuanzisha au kuendeleza biashara yake.
Kuna malengo nimeweka kwa mwaka huu katika kuendelezaji mradi wangu, sasa ili niweze kufikia hilo lengo nahitaji kuangalia vyanzo vingine vya fedha.
Hivyo basi natafutufa mkopo wa masharti nafuu wa Tsh. 5,000,000/= kwa kuanzia, kama kuna mwanaJF ambae anaweza kunisaidia katika hili tunaweza kuwasiliana.
Naomba kuwasilisha!
Ninaamini wote tutakubaliana ya kwamba moja kati ya changamoto inayomkabili mjasiriamali ni chanzo cha fedha katika kuanzisha au kuendeleza biashara yake.
Kuna malengo nimeweka kwa mwaka huu katika kuendelezaji mradi wangu, sasa ili niweze kufikia hilo lengo nahitaji kuangalia vyanzo vingine vya fedha.
Hivyo basi natafutufa mkopo wa masharti nafuu wa Tsh. 5,000,000/= kwa kuanzia, kama kuna mwanaJF ambae anaweza kunisaidia katika hili tunaweza kuwasiliana.
Naomba kuwasilisha!