Natafuta mke

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,551
32,175
Mimi ni kijana, umri miaka 34, nafanya kazi Dar es Salaam, Mkristo, natafuta mwanamke atakayekuwa mke wangu napenda awe umri kuanzia miaka 28 na kuendelea, mwenye hofu ya MUNGU, mkristo, na anayependa kujibidisha katika maisha, hata akiwa na mtoto tayari si mbaya, awe tayari kupima UKIMWI.. Please only SERIOUS LADIES INVITED unaweza kuni-PM kwa joshua_ok
 
Huyo mke wa kumtafutia humu mbona utajuta?kama mtakubali familia nzima kuanzia wewe,huyo mkeo na watoto mtakaowazaa kuajiliwa na Bill Gates sawa!
 
Senetor na ww unataka ku-apply?

Ndugu msaka mke, ungeulizia na cheti cha kuzaliwa. Mie kaumri kamesogea, ila nahisi kongosho na purple wamekuzidi umri. Mtafute loya wa Lulu Kanumba...
 
Mimi ni kijana, umri miaka 34, nafanya kazi Dar es Salaam, Mkristo, natafuta mwanamke atakayekuwa mke wangu napenda awe umri kuanzia miaka 28 na kuendelea, mwenye hofu ya MUNGU, mkristo, na anayependa kujibidisha katika maisha, hata akiwa na mtoto tayari si mbaya, awe tayari kupima UKIMWI.. Please only SERIOUS LADIES INVITED unaweza kuni-PM kwa joshua_ok

Du!chance nimeikosa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom