Mimi ni kijana, umri miaka 34, nafanya kazi Dar es Salaam, Mkristo, natafuta mwanamke atakayekuwa mke wangu napenda awe umri kuanzia miaka 28 na kuendelea, mwenye hofu ya MUNGU, mkristo, na anayependa kujibidisha katika maisha, hata akiwa na mtoto tayari si mbaya, awe tayari kupima UKIMWI.. Please only SERIOUS LADIES INVITED unaweza kuni-PM kwa joshua_ok