Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,768
Mi nikijana mwenye miaka 29
Rangi yangu: Light skin
Kimo: 5’8
Dini: Mkristo
Msukuma kwa kabila, nimemaliza chuo 2017 na kupata shahada yangu ya kwanza. Nimwajiliwa serikalini.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu tumeachana kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sasa nipo single, natafuta mwanamke atakaye kuwa mke kama yeye ataridhia kuwa nami.
Mwanamke huyu napenda awe na sifa zifuatazo
Dini: Mkristo
Urefu: Awe mrefu kiasi (katikati)
Rangi: Rangi yoyote yanifaa ila akiwa Black beauty itependeza zaidi.
Elimu:
Elimu yake iwe diploma au degree, mwenye masters nakuendelea HAPANA sitaki kufa mapema
Kazi: Awe ameajiliwa au kama hajaajiliwa awe na uwezo kuendesha biashara (Staki goalkeeper)
Umri:
23-26
Umbo: Mwili wa saizi ya kati au kibonge ()
Kabila
Lolote lile kikubwa awe mtu wa kujitambua tu
Kwa ndani naomba mwenye Bwawa asiPM, Kitu kifinye na chenye Joto ()
NB: NIKO SERIOUS
NAWASILISHA
Rangi yangu: Light skin
Kimo: 5’8
Dini: Mkristo
Msukuma kwa kabila, nimemaliza chuo 2017 na kupata shahada yangu ya kwanza. Nimwajiliwa serikalini.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu tumeachana kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu. Sasa nipo single, natafuta mwanamke atakaye kuwa mke kama yeye ataridhia kuwa nami.
Mwanamke huyu napenda awe na sifa zifuatazo
Dini: Mkristo
Urefu: Awe mrefu kiasi (katikati)
Rangi: Rangi yoyote yanifaa ila akiwa Black beauty itependeza zaidi.
Elimu:
Elimu yake iwe diploma au degree, mwenye masters nakuendelea HAPANA sitaki kufa mapema
Kazi: Awe ameajiliwa au kama hajaajiliwa awe na uwezo kuendesha biashara (Staki goalkeeper)
Umri:
23-26
Umbo: Mwili wa saizi ya kati au kibonge ()
Kabila
Lolote lile kikubwa awe mtu wa kujitambua tu
Kwa ndani naomba mwenye Bwawa asiPM, Kitu kifinye na chenye Joto ()
NB: NIKO SERIOUS
NAWASILISHA