Natafuta Mke

Natafuta Mke

Thanks kaka,maana nimechoka kulishwa hamira na mama ntilie kwa kweli.
pole,mara moja moja uwe unanijoin pale kempiks,huwaga niko pale sana hasa tym za lunch.
 
Jamani eee!!,
Nimefikiria sana kwa undani nimeona nije humu jamvini kutangaza kwamba sasa natafuta Mchumba ili aje awe mke wangu mungu akipenda, maana maisha ya ukapera na ubachela yamenichosha sasa.

Vigezo;
Kabila lolote kasoro Mzaramo, Mkinga, ****** na Mmachame,

ulimaanisha m-k-w-e-r-e ??!!

Kila la kheri!!
 
Sorry,
nlikua bize kidogo napitia vigezo vya walioni-PM,

kusema ukweli wengi wao hawakufika vigezo hata nusu ya nilivyotaja wakati wengine wakihitaji kujua eti nina mali kiasi gani,
hivyo natangaza kua bado napokea PM kwa ajili ya yule anaehitaji ku-share life (including love) na mimi,
 
Nimeulizwa sana kwenye PM kama nachagua kabila, mbona sijaweka langu?Kwakua niko siriaz wacha tu niweke wazi,Mimi natokea mkoani Ruvuma kwa baba mchanganyiko wa kingoni na nyasa,upande wa mama anatokea kaskazini mkoani kilimanjaro (but sio mmachame)
 
Unaumri gani? Umechafua sana mitaani ndo unajifanya unahitaji mke, anyway ni maamuzi mazuri.Nakushauri ufunge kwa maombi maalum.Muombe Mungu akupe mke mwema na si kabila njema.Mm na kuweka ktk maombi ila acha kabisa ufusika.
 
Unaumri gani? Umechafua sana mitaani ndo unajifanya unahitaji mke, anyway ni maamuzi mazuri.Nakushauri ufunge kwa maombi maalum.Muombe Mungu akupe mke mwema na si kabila njema.Mm na kuweka ktk maombi ila acha kabisa ufusika.
Duh,yamekua hayo?Tukianza kuchafuana namna hii si hata hao wachumba naowahitaji watakimbia?Mambo mengine ni ya kuambiana kwenye PM mkuu, si hadharani namna hii.
 
ukifanikiwa utujulishe.masharti uliyoyataja karibu yote ninayo,isipokuwa sharti moja tu,naona sio bahati yangu
 
Jamani eee!!,Nimefikiria sana kwa undani nimeona nije humu jamvini kutangaza kwamba sasa natafuta Mchumba ili aje awe mke wangu mungu akipenda, maana maisha ya ukapera na ubachela yamenichosha sasa.Vigezo;Awe mrembo,Mchapa kazi,Asiwe mnywaji wa pombe,Asiwe mpenda kujirusha,Asiwe muongeaji sana,Kabila lolote kasoro Mzaramo, Mkinga, ****** na Mmachame,Sio mnene sana but angalau uwani kajazia,Elimu kuanzia Form6, na awe tayari kujiendeleza zaidi,Asiwe mkorofi wala mgomvi,Dini yoyote, ila tu aamini Mungu ni mmoja Muhammad ni moja ya mitume wake,Kazi sio lazima sana, ila kama anayo iwe ya halali,Umri usizidi miaka 27,Awe hajawahi kuolewa akaachika,Msafi wa nje na ndani,Mpenda na mheshimu ndugu zake na zangu,Mwenye upendo wa kweli sio wa 'kifedha' zaidi,Awe tayari kupima hospitali.Wasifu wangu,Elimu Degree moja,Muislam,Mwajiriwa sekta binafsi,Mpole,Mrefu kias (1.8m),Kwa alie tayari tujuane zaidi kwenye ''Private Message''
dah! Ilikuwa bdo kidogo nikuPM kumbe me Mmachame! Dah!
 
dah! Ilikuwa bdo kidogo nikuPM kumbe me Mmachame! Dah!
Dah, naweza kujikuta miaka yote mtu unajijenga kimaisha kumbe unamjengea mwenzio,kwa heri dada yangu
 
asisahau na cha angaza.
Binafsi naamini Cheti si kithibitisho cha kuaminika.Sio sawa na cheti cha chuo ukishatunukiwa digrii ndo unayo moja kwa moja,Angaza unaweza kupewa cheti leo kisha kesho ukaukwaa na bado cheti unacho unawadanganyia watu.
 
nimeoona kule sijui nani kachimbua nami nikaona nitanie hapo si unajua mambo ya jf
Aiseee.......hii umeichimbua wapi.......mbona ya long tym sana......?.......2011.........!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom