ngoshaboy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 231
- 197
- Thread starter
- #21
Ushauli wako mzuri kaka nimeupenda japo unaniogopesha tena.mkuu hawa wa uku wafilisi watakunyang'anya hadi suruali unayotembelea na kukuzidishia stresd! chamsingi ondoa wazo la kuwa kwavile huna ajira hutopata mtu la hasha! usiwaogope wadada ee watongoze katia 10 wapo 6 watakubeza na 3 watakukubalia ili wakupole hata huo mtaji ulionao na 1 ndie atakae ridhia hali uliyo nayo na ndio mkeo halali. kikubwa usiwatake wadada wenye pesa zao anza na level yako.