Si ndio karibu na nchi jirani 🤣Namaanisha mhaya ujue😄
Dia fyucha haziband anataka mke awe na job security. Hataki kuja kusikia mambo ya non renewable contractEti kazi LAZIMA awe serikalini 🙌
😂😂 atanipa shida kunyoosha kila sikuMume huyu hapa....anavaa tai siku zote 365 na robo
ooh mara termination sijui LIFO mara FIFODia fyucha haziband anataka mke awe na job security. Hataki kuja kusikia mambo ya non renewable contract
😂😂😂😂Mume huyu hapa....anavaa tai siku zote 365 na robo
hautavaaa hereniNa haya masikio niliyotoboa sijui wakwe wataniambia nizibe?
Mkuu kwa vigezo ulivyotoa, wasifu, naomba tu nitumie nafasi hii kusema kuwa wewe ubaki bachela tu, huwezi pata mke hapo, binti hawahawa wa kizazi cha 2000? Ungesema tu nataka mcha Mungu tabia tutazoeana kesho tu ungeweka jiko ndani.Ref;-Natafuta mke mkristo,
Ila akiwa msabato na awe anaishi dar es salaam itakuwa poa zaidi.
Awe mwalimu au nurse au kazi yoyote ya serikali,asiwe muhaya au mjita.
Awe na miaka 22-33 asiwe na mtoto,na asiwe aliolewa/asiwe kibonge sana akiwa mwembamba itakuwa poa sana.
Me naitwa johnson/30yr's nina mtoto1/sijawahi kuoa/nina diploma ya geomatics/nafanya kazi /msabato pure/urefu 5.7ft/chocolate color/sio mnene/sio mwembamba.
Kama upo serious nitafute johnsonMatinde@gmail.com
Diha fyucha hizo hataki 🤣🤣ooh mara termination sijui LIFO mara FIFO
Watakatifu wenzake wamekujamie heeeee😂😂😂😂
ana mkwara shemejiDiha fyucha hizo hataki 🤣🤣
Hataki stress mwenyewe
akijibu nitagWatakatifu wenzake wamekuja
Kumuuliza kapataje mtoto au kamnunua
MamboUtasikia yule mnyama,sijui vitasa saba,malaika saba,nyoka ana vichwa vingapi sijui weeeee utajua hujui🥲🥲
Jisimamie kama mwanaume. Vaa pendeza, nenda ibadani utakutana na mabinti wazuri wanaofaa kuoa. Katongoze unayemtaka. Huo ndiyo uanaume. Siyo kubweteka na kutaka KUTAFUTWA.Ref;-Natafuta mke mkristo,
Ila akiwa msabato na awe anaishi dar es salaam itakuwa poa zaidi.
Awe mwalimu au nurse au kazi yoyote ya serikali,asiwe muhaya au mjita.
Awe na miaka 22-33 asiwe na mtoto,na asiwe aliolewa/asiwe kibonge sana akiwa mwembamba itakuwa poa sana.
Me naitwa johnson/30yr's nina mtoto1/sijawahi kuoa/nina diploma ya geomatics/nafanya kazi /msabato pure/urefu 5.7ft/chocolate color/sio mnene/sio mwembamba.
Kama upo serious nitafute johnsonMatinde@gmail.com
Njoo kwangu inboxUshaambiwa hataki muhaya
Niache kwanza niendelee kubaki nyumbani 🤣🤣🤣
Afu msabato nehi nehiii
Hao Miungu wa dunia mahiii. Masomo yao magumu