TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Game mlimani city zipo.....range 15k - 30k, if i recall the prices correctly
Mi nataka ya mbao
Game mlimani city zipo.....range 15k - 30k, if i recall the prices correctly
usijali nishapata ya kwangu kitu kipyaaaaaaaaaaa,ukiwa intersted na mimi naweza niikakuelekeza niliponunua ya kwangu ila sharti na wewe uninunulie,,,hihihihi
yaani k/koo mwisho wa matatizo nimeipata hiyo miwani niliyokuwa naitafuta kwa udi na uvumba,tena kwa bei ya kutupa
atakayekuwa interseted nitamuelekeza,mzigo huo hapo!!!
View attachment 96063
Mi huwa nikifika swimming pool kama sina hiyo makitu napiga mbizi kavukavu kwanza,nikizama mara tatu lazima niibuke na miwani huko chini ya maji na wala huwa siulizi imemvuka nani,naona naye kama ni mtaalamu wa maji atumie ujanja huo badala ya kufikiria kupoteza pesa...
Serious???
Sh ngapi unanifanyia,??
Na naweza nikaona picha???
hahaha sio haya bana,unaniangusha mkuu!!!!haya baadhi waendesha wa bodaboda wanatumia... au sio ?
St. Paka Mweusi hayupo serious huyo,thanks god nimepata lakini!!!,im just waiting for my next week end nikakinukishetumia tu mbinu ya St. Paka Mweusi aliyokupa
hahaha sio haya bana,unaniangusha mkuu!!!!
St. Paka Mweusi hayupo serious huyo,thanks god nimepata lakini!!!,im just waiting for my next week end nikakinukishe
mkuu.. kweli!! mi'mgeni mjini labda yanafanana..
Kwa matumizi ya kawaida tu!!!,mashindano bongo!!!kwani una mashindano au ni kwa ajili matumizi ya kawaida tu.
Hope ushapata
ninazo kama tatu rangi blue na white nitoe na hela ya monde tuu 10 000
Mndengereko, nadhani jamaa alikuwa anataka kukuuzia swimming pool kabisa.nauza 48,000 unaletewa hapo hapo ulipo ni pm
Mkuu nanunua miwani au nanunua nokia ya torch?
haha kweli kabisa,pamoja na dawa yake kbs alikuwa anata aniuzie ya wiki nzimaMndengereko, nadhani jamaa alikuwa anataka kukuuzia swimming pool kabisa.
inaelekea hao uliowataja wana vichwa vikubwa mpk size zao adimuKuna duka linaitwa kichui boutique. Liko tegeta kibo complex, first floor. Wana miwani na swimming costumes za watoto na watu wazima. Plus size kama za Madame B na Maxence Melo zipo pia.