Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
heshima kwenu wakuu,kama kuna mtu anazo anuza ziwe used au mpya please nomba kujuzwa,au japo nielekezwe zinapatikana maduka gani hata nikiambiwa na bei pia haitakuwa mbaya,thanks, in advance
yaani huwezi amini pale ndio kiwanja changu alafu rti hata sikuwa na wazo kama hilo shame on me!!!1Kama uko Dar nenda UDSM kule swimming pool huwa wanauza
tuma mpesa nikupe yakwangu.
tuma mpesa nikupe yakwangu.
naomba nikupeleke zinapouzwa,sharti uninunulie namimi
nauza 48,000 unaletewa hapo hapo ulipo ni pm
nauza 48,000 unaletewa hapo hapo ulipo ni pm
Mkuu nanunua miwani au nanunua nokia ya torch?
Makubwa,labda tuwe 2naazimana ya kwangu!!!
hiyo ya kuogelea tu,maandamano kwa sasa nawaachia watu wa mtwaraUna mpango wa kuandamana?...maana hiyo ni kinga ya bomu la machozi
usijali nishapata ya kwangu kitu kipyaaaaaaaaaaa,ukiwa intersted na mimi naweza niikakuelekeza niliponunua ya kwangu ila sharti na wewe uninunulie,,,hihihihikuazimana hapana magonjwa mengi siku hizi.
yaani k/koo mwisho wa matatizo nimeipata hiyo miwani niliyokuwa naitafuta kwa udi na uvumba,tena kwa bei ya kutupa
atakayekuwa interseted nitamuelekeza,mzigo huo hapo!!!
View attachment 96063