Natafuta mitungi ya shisha

Twilumba

JF-Expert Member
Dec 5, 2010
11,527
12,365
Salama wakuu,
Nafatua sehemu wanayouza mitungi ya shisha na fleva zake.

Nitafurahi ikiwa ntajua bei zake.

Nipo Dar es salaam mwenye kujua naomba anijuze nataka kwa ajili ya biashara.

Asante.
 
Salama wakuu,
Nafatua sehemu wanayouza mitungi ya shisha na fleva zake.

Nitafurahi ikiwa ntajua bei zake.

Nipo Dar es salaam mwenye kujua naomba anijuze nataka kwa ajili ya biashara.

Asante.

-Slipway, nenda kwenye shisha kiosk utapata hiyo makitu

-kama ni flavour peke yake hata shoppers plaza unaweza pata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom