Ray M
Senior Member
- Sep 23, 2012
- 182
- 61
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions.
Ningependa mhusika awe na sifa zifuatazo
1) Awe na shughuli halali inayomwingizia kipato
2) Dini yeyote, kabila lolote. Ila asiwe extremist
3) awe tayari kuzaa bila kuhusisha mambo ya kuoana.
4) Umri kuanzia miaka 25 mpaka 32.
Terms & Conditions
*** Vipimo vyote vya afya vitachukuliwa ili kujiridhisha kuhusu usalama wetu na wa mtoto wetu pia.
1) Nitagharamia kwa 100% matunzo yote ya mtoto kuanzia mimba, kuzaa mpaka malezi. pale nitakapokwama ndipo atakuwa ananisaidia.
2) Awe tayari kuruhusu vipimo vya DNA in case any doubt arise.
3) Kwenye kadi ya Klinik nitambulike kama baba wa mtoto tangu mwanzoni kabisa
4) No ndoa attached, atakuwa huru kuolewa iwapo atapenda, na mimi pia nitakuwa huru na maisha yangu.
5) mengine tutayajadili kadri muda utakavyoruhusu.
Kuhusu mimi
1) Kijana Mtanzania miaka 26
2) Mpole, mtanashati
3) Mrefu, mwembamba, mweusi
4) Nimeajiriwa na pia ninamiliki biashara zangu
5) Ninataka niweze kupata mtoto mapema
Asanteni na Karibuni
Ray
Ningependa mhusika awe na sifa zifuatazo
1) Awe na shughuli halali inayomwingizia kipato
2) Dini yeyote, kabila lolote. Ila asiwe extremist
3) awe tayari kuzaa bila kuhusisha mambo ya kuoana.
4) Umri kuanzia miaka 25 mpaka 32.
Terms & Conditions
*** Vipimo vyote vya afya vitachukuliwa ili kujiridhisha kuhusu usalama wetu na wa mtoto wetu pia.
1) Nitagharamia kwa 100% matunzo yote ya mtoto kuanzia mimba, kuzaa mpaka malezi. pale nitakapokwama ndipo atakuwa ananisaidia.
2) Awe tayari kuruhusu vipimo vya DNA in case any doubt arise.
3) Kwenye kadi ya Klinik nitambulike kama baba wa mtoto tangu mwanzoni kabisa
4) No ndoa attached, atakuwa huru kuolewa iwapo atapenda, na mimi pia nitakuwa huru na maisha yangu.
5) mengine tutayajadili kadri muda utakavyoruhusu.
Kuhusu mimi
1) Kijana Mtanzania miaka 26
2) Mpole, mtanashati
3) Mrefu, mwembamba, mweusi
4) Nimeajiriwa na pia ninamiliki biashara zangu
5) Ninataka niweze kupata mtoto mapema
Asanteni na Karibuni
Ray