TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wana JF,
Kutokana na tatizo la ajira nimeamua kutoa mchongo, natafuta customer care wa kujitolea ila commission ipo kama ataweza kushawishi mteja biashara ikafanikiwa (close a deal) .
Vigezo:
1. Jinsia ya kike
2. Uzoefu sio lazima bali hawe mtu mwenye kupenda kazi
3. Umri 21-32
4. Elimu kuanzia diploma mpaka Degree
Hakutokuwa na interview ukionyesha interest nakupa assignment (unapewa wateja watano ) unafanya ukifanikiwa tunaanza kazi.
Majukumu ya kazi
1. Kupokea simu za wateja na kuongea nao
2. Kufuatilia mahitaji ya mteja na kumshawishi kuhakikisha biashara inafanyika.
Kama utakuwa ushawai fanya kazi za sales itakuwa faida sana kwa nafasi hii.
Please usinitume CV wala vyeti, kama upo interest comment "interested".
Nitafanya na wewe mahojiano hapa hapa JF.
Kutokana na tatizo la ajira nimeamua kutoa mchongo, natafuta customer care wa kujitolea ila commission ipo kama ataweza kushawishi mteja biashara ikafanikiwa (close a deal) .
Vigezo:
1. Jinsia ya kike
2. Uzoefu sio lazima bali hawe mtu mwenye kupenda kazi
3. Umri 21-32
4. Elimu kuanzia diploma mpaka Degree
Hakutokuwa na interview ukionyesha interest nakupa assignment (unapewa wateja watano ) unafanya ukifanikiwa tunaanza kazi.
Majukumu ya kazi
1. Kupokea simu za wateja na kuongea nao
2. Kufuatilia mahitaji ya mteja na kumshawishi kuhakikisha biashara inafanyika.
Kama utakuwa ushawai fanya kazi za sales itakuwa faida sana kwa nafasi hii.
Please usinitume CV wala vyeti, kama upo interest comment "interested".
Nitafanya na wewe mahojiano hapa hapa JF.