We andika interested mengine utajua mbeleHizi siyo Kazi za Mabeseni kweli
Kwani ye wa kike?
Customer care ,wakupokea sim za wateja .,then anam connect mteja kwa mtu wa sales .Bdae anafanya follow up kujua km biashara imefanyika au haijafanyika ili apate commission yake ( lazima awe mtu mwenye kiu ya matokeo mazuri)
OkCustomer care ,wakupokea sim za wateja .,then anam connect mteja kwa mtu wa sales .Bdae anafanya follow up kujua km biashara imefanyika au haijafanyika ili apate commission yake ( lazima awe mtu mwenye kiu ya matokeo mazuri)
Nilivyokudhania ndivyo unavyojielezeaNi biashara ya nini? Uko mkoa gani? Au ni kazi ambayo hata tukiwa mbali mbali itafanyika?
Wengine tuko na experience za kukaa reception kwahiyo kumcare mteja kuko damuni

Hahahaha umenichekesha hatari 😂Mmejitokeza wengi..ila anataka mtu mmoja tu tena hakuna CV. Je unadhani atachukua vigezo gani ili kupata mwenye sifa?
Jiandaeni! Mtagongwa gongwa mpaka mkate tamaa
How?!!!
Mtu akiamua kugongwa ni hiyari yakeMmejitokeza wengi..ila anataka mtu mmoja tu tena hakuna CV. Je unadhani atachukua vigezo gani ili kupata mwenye sifa?
Jiandaeni! Mtagongwa gongwa mpaka mkate tamaa
Nitatangaza na nafasi za Sales Executive kila wilaya ya Dar Es Salaam.Kwa wale ambao wataomba Customer care wote nitawachukua kama Sales Excutive ila so far nahitaji Customer Care mmoja.