kichwakipana
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 206
- 45
Interested.
InterestedHabari wana JF,
Kutokana na tatizo la ajira nimeamua kutoa mchongo, natafuta customer care wa kujitolea ila commission ipo kama ataweza kushawishi mteja biashara ikafanikiwa (close a deal) .
Vigezo:
1. Jinsia ya kike
2. Uzoefu sio lazima bali hawe mtu mwenye kupenda kazi
3. Umri 21-32
4. Elimu kuanzia diploma mpaka Degree
Hakutokuwa na interview ukionyesha interest nakupa assignment (unapewa wateja watano ) unafanya ukifanikiwa tunaanza kazi.
Majukumu ya kazi
1. Kupokea simu za wateja na kuongea nao
2. Kufuatilia mahitaji ya mteja na kumshawishi kuhakikisha biashara inafanyika.
Kama utakuwa ushawai fanya kazi za sales itakuwa faida sana kwa nafasi hii.
Please usinitume CV wala vyeti, kama upo interest comment "interested".
Nitafanya na wewe mahojiano hapa hapa JF.
CV tukutumie wapi?weka emailNaomba niongeze siku mpaka Jumatatu ,maana namba bado ni ndogo.Ila kwa wote walioonesha interest naomba wani forwardie resume /CV zao ili ni check kama wana sifa .Maana sifa ya kwanza ni jinsia,pili elimu ila sitoshangaa kuona mbaba naye kaomba coz kuna watu wao huwa hawasomi tangazo vizuri wakiona nafasi imetangazwa wanakurupuka tu kuomba.
Tuma tu PM nitaipata,nikiweka email hapa itajaa nitashindwa hata kuzisoma.CV tukutumie wapi?weka email
Mpaka sasa ni watu wawili tu ambao wame ni PM CV zao,nimefanya nao mahojiano mafupi mambo yanaenda vizuri.
Wengine wanaonyesha awapo interested thus why hawaja PM resume zao.
Khaa...mkuu tunalog in Jf kwa nyakati tofauti tofauti na hata tukiingia sio rahisi kupitia nyuzi zote maona hata masaa 24 hayajaisha tayari umeconclude eti watu hawapo interestedMpaka sasa ni watu wawili tu ambao wame ni PM CV zao,nimefanya nao mahojiano mafupi mambo yanaenda vizuri.
Wengine wanaonyesha awapo interested thus why hawaja PM resume zao.
Hapana !!You never know labda wataakuwa wengine hawana bundle hivyo inakuwa sio vizuri kumzibia mtu bahati yake.You will never know may be she will be the best candidate.