Pawa chilonda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 355
- 413
Natafuta mfanyakazi wa Stationery Ambaye anaweza Fanya kazi Singida vijijini
Mshahara Mshahara 120,000/-
Kodi nakulipia miezi 6 matumizi ya mwezi wa kwanza nakupatia godoro na Jiko la kupikia vipo
Kama upo interested njoo pm au piga 0752099595
Vigezo
1. uaminifu
2. Uaminifu
3. Muaminifu
4. Awe anaijua kazi Mengine tutaelekezana
5. Ajue kuandaa invoice na Delivery ( km hajui ataelekezwa)
6. Awe anajua kuhudumia kwa maana ajue namna ya kuwasiliana na wateja
Mengine tutaelekezana
Mshahara Mshahara 120,000/-
Kodi nakulipia miezi 6 matumizi ya mwezi wa kwanza nakupatia godoro na Jiko la kupikia vipo
Kama upo interested njoo pm au piga 0752099595
Vigezo
1. uaminifu
2. Uaminifu
3. Muaminifu
4. Awe anaijua kazi Mengine tutaelekezana
5. Ajue kuandaa invoice na Delivery ( km hajui ataelekezwa)
6. Awe anajua kuhudumia kwa maana ajue namna ya kuwasiliana na wateja
Mengine tutaelekezana