Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
Evelyn Salt yale yalee ulosema mama.
Ha ha ha hapa ndio jf, wazee wa mambo safiEvelyn Salt yale yalee ulosema mama.
Yaani hadi unajuta.Ha ha ha hapa ndio jf, wazee wa mambo safi
utadhani wanajua kipato chakeYaani hadi unajuta.
Hapana, wote wamekosea, ila mleta mada amekosea zaidi. Soma btn the lines hilo sharti la 3, mtu ajilipie toka bush nauli umlete mjini umpe 30,000 kwa mwezi? Pia sentensi yake ya mwisho as if usafi na kulea mtoto ni vikazi flani vdogo! Watoto kulea kazi sana, Hatulingani kweli ila hiyo pesa ndogo sana kwa hayo majukumu, ange edit akaandika anaomba msaada kwa atakayeweza kumsaidia malezi ya mtoto na usafi, na kuwa atatoa pesa kidogo kwa mwezi, at least 50,000. Hata kama unqkipato kidogo, kumbuka hgirl anapokaa na mwanao vzr anakupa chance ya kupambana maisha zaidiHuu ndio ujinga kutaka kila mtu afanane na wewe! Shauri kistaarabu sio kuonesha wewe unalipa kiasi gani sababu kila mtu akisema anawalipa house maids wao kiasi gani utafuta hiyo bhange yako soon!
Hata kama , gharama za maisha zimepanda sana sasa hivi, kumbuka huyo mdada atakayemsaidia kazi kamtoa katika familia hiyo elfu 30 ajihudumie mahitaji yake yeye mwenyewe na kutuma kwao hiyo hiyo pesa kweli?? Hapana aiseee hii si haki!utadhani wanajua kipato chake
Kama hana kipato akizaa alee mwenyeweutadhani wanajua kipato chake
wakuu mna maneno nyie hahahaHuu ndio ujinga kutaka kila mtu afanane na wewe! Shauri kistaarabu sio kuonesha wewe unalipa kiasi gani sababu kila mtu akisema anawalipa house maids wao kiasi gani utafuta hiyo bhange yako soon!
Ni pm,,, nakuj mm mwenyeweKama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu
Natafuta mfanyakazi wa NDANI pls....
Masharti
1. Awe na umri usiopungua miaka 17 na usiozidi 19 au 20.
2. Asiwe ametoka kumaliza darasa la saba mwaka huu
3.Asiwe anatoka mjini na awe tayari kutumia nauli yake mpaka kufika nilipo.
Mshahara ni 30 elfu
Kazi kubwa ni usafi wa ndani na mtoto
Asante mkuuHuu ndio ujinga kutaka kila mtu afanane na wewe! Shauri kistaarabu sio kuonesha wewe unalipa kiasi gani sababu kila mtu akisema anawalipa house maids wao kiasi gani utafuta hiyo bhange yako soon!
Mkuu mm sio mama ni mwanaume aiseeMleta mada atakuwa ni wale wamama wa nyumbani ambao akiamka tu anawahi kwa jirabi kupiga umbeya huku kila kitu akimwachia house girl!
Elfu 30? Maviii
Jamani sasa mnataka niahidi ntamlipa laki moja akati kamshahara kenyewe laki 5 tu ili mm niishi vipi? Au niahidi laki alafu nimzulumu?utadhani wanajua kipato chake
Mahitaji yote mm tampaHata kama , gharama za maisha zimepanda sana sasa hivi, kumbuka huyo mdada atakayemsaidia kazi kamtoa katika familia hiyo elfu 30 ajihudumie mahitaji yake yeye mwenyewe na kutuma kwao hiyo hiyo pesa kweli?? Hapana aiseee hii si haki!
So what?Me mfanyakazi wangu wa ndani ana degree kamaliza I.F.M halafu namlipa laki 2 kwa mwezi anafanya usafi vizuri balaa...