Natafuta mchumba.....!

ntakupataje mkuu au ushapata,utakua tayari kupima hiv and unampango wa kuoa mwaka gani,age yangu ni25 tutakua sawa,formore info nipatie e mail yako ama fb id.
 
nimetatizwa na kitu kimoja tu,unasema awe single sasa maana yake nini?kweli siku hizi kuna mtu utamuaproach ukute yuko single,be serious,watoto wenyewe wanayaanza mambo wakiwa msingi,sijui.
 
Mmechanganyikiwa wote. Mapenzi hawatafutwi kwa njia ya keyboard. Jitume mtu mzima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom