asmaa80
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 1,562
- 1,756
ABC za msingi katika swala la Ndoa si kutaja mali, hiyo watu wenye busara huficha kabsaaa na kujishusha ili kupata mke wa kweli mana wanawake wengi wa sasa ni tamaa, pata picha kakupendea nyumba gari na maisha standard, ushawaza gari kupata ajali, kufukuzwa kazi au kwa ushauri wake wa tamaa alikushauri uchukue mkopo bank kupitia hati ya nyumba mkopo ukabuma nyumba ikaaenda ukabaki mweupeee ?? Unadhani ataendelea kukaa na wewe? atarudi hapa jf kutafuta mwengine, TAFUTA MWANAMKE ATAKAE KUPENDA KAMA WEWE NA AKIWAZA YA KWAMBA ANAONANA NA WEWE MNAANZA KUTAFUTA MAISHA. Jua huyo ndo wakufa na kuzikana wa shida na raha, ungesema elimu yako na una kazi. na wakati wakujuana pia ungeact umepangisha na gari ya kazini ukapima upepo.Sio mashauzi ndugu,ni lazma kabla mchumbaangu mtarajiwa hajafanya maamuzi lazma awe na ABC za mumuwe mtarajiwa.