Walaaam!
Kama jukwaa linavojieleza naona kuwa watu wengi sana wakike kwa wakiume wakitangaza uhitaji wao.Tatizo linakuja pale mtu anapotangaza uhitaji wake bila kuweka sifa za mwombaji. Ni vizuri kuwa clear ili hata mwombaji ajue kama anasifa au laa.
Namuona kabisa mume wangu hapa tafadhali kati ya men waliojitangaza anaehitahi mke mweupe, mkristo digrii holda, mfanyakazi serikalini english figa yenye kahipsi na katako, age 25 sio mref sio mfupi tabia tutachunguzana kwanza aje pm tubonge.Ni hayo tu.