Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

Mhhhh Hapa Kweli Kazi ipo !!!!!!!!!!!!!!
Tatizo la hapa JF Utani na Matusi yapo mengi .Uwezi kujua nani hupo serious na nani anakutania ktkt uziwako
 
Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa – jamani hii title imeanza kupunguza uzito wake hapa love connect…. Hili ni jamvi la love connect but inaonekan sasa kama vile linakua la people connect… Wanaosaka wapenzi wanatangaza kama vile wanatafuta product…Jamani kwa wale ambao wako serious kutafuta wachumba awe wakike au wa kiume walau basi kuweni serious na post mnazotuma kuonesha ni kweli unahitaji huyo m


Tips kabla hujatuma


  • Eleza sifa zako za nje na ndani zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia naona pia unamata.
  • Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unae muhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  • Kama yupo JF pleeeeeeeeease m-PM mana hamna haja ya kutupa wote faida otherwise kama mnatualika harusi…
  • Toa contacts walau e-mail address mana CM utakua umepalia makaa..
  • Unapotuma thread onesha basi you mean it maana kama ni utani it is better ikiwa jukwaa la jokes…
Na mengineyo ya muhimu…
una mkia mrefun lakn?
 
Mi nahitaji mwanaume ataeweza kunihudumia na anaependa ku enjoy life miaka 26-30. Ni pm ka uko tayar.
 
Hivi hii kitu huwa iafanya kazi kabisa ,mnapata wenza wenu na Ndoa mnafunga ??? Au ndio kichaka cha kupata watu desparate ili kuwalaghai kimwili tu
 
natafuta mwanamke wa kuzaa naye mtoto,hii inawahusu wadada wenye kaz zao na hawapend kuolewa il kuepusha manyanyaso ya kene ndoa! NB-KUPIMA UKIMWI NI LAZIMA -0719432283
 
Walaaam!
Kama jukwaa linavojieleza naona kuwa watu wengi sana wakike kwa wakiume wakitangaza uhitaji wao.Tatizo linakuja pale mtu anapotangaza uhitaji wake bila kuweka sifa za mwombaji. Ni vizuri kuwa clear ili hata mwombaji ajue kama anasifa au laa.
Namuona kabisa mume wangu hapa tafadhali kati ya men waliojitangaza anaehitahi mke mweupe, mkristo digrii holda, mfanyakazi serikalini english figa yenye kahipsi na katako, age 25 sio mref sio mfupi tabia tutachunguzana kwanza aje pm tubonge.Ni hayo tu.
Duh hapa sijui nimechelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom