Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 11,892
- 36,721
All the bestNipo hapa ila sina kaziš«¢
All the bestNipo hapa ila sina kaziš«¢
Siku 3 nyingi ushamzingua.. nipo pale nimepumzika nawachoraNipo hapa ila sina kaziš«¢
Thank youuāŗļøAll the best
Sasa nimzingue na nini? Tumekutana wote tushachoka tushapitia kila aina ya mabonde.. hatuezi shindwana!Siku 3 nyingi ushamzingua.. nipo pale nimepumzika nawachora
Ubaya ni kwamba mimi siwapendi wanawake nishaharibika kisaikolojia wanawake wote nawaona sio kwanza ingewezekana kungekua hakuna utaratibu wa kutongoza ni ukimuona ukimtamani msogezee ghetto chapa vizuri kabisa mtie mimba ukimaliza mwache aende michezo ya jogoo ukiitaka tena kamata mwingine ni vilevile km ulivyofanya mwanzo hakuna kusumbuana sana ni mwendo wa kuijaza duniaSasa nimzingue na nini? Tumekutana wote tushachoka tushapitia kila aina ya mabonde.. hatuezi shindwana!
Hmmm hiyo sasa mbaya bro! Ata mi siwapendi mno wanaume lakini kukosea kwangu njia hakuwezi kunifanya niwaadabishe wengine! Ujinga wangu mwenyew nlokutana nao uko nyuma sio sababu ya kushindwa kuanza upya, sidhani kama kuna mtu hajawahi kuumizwa japo maumivu na mapokeo ya yake yanatofautiana..Ubaya ni kwamba mimi siwapendi wanawake nishaharibika kisaikolojia wanawake wote nawaona sio kwanza ingewezekana kungekua hakuna utaratibu wa kutongoza ni ukimuona ukimtamani msogezee ghetto chapa vizuri kabisa mtie mimba ukimaliza mwache aende michezo ya jogoo ukiitaka tena kamata mwingine ni vilevile km ulivyofanya mwanzo hakuna kusumbuana sana ni mwendo wa kuijaza dunia
Ukitafuta hela na kujipata wanawake wakila aina hujileta wenyew bila hata kuwatongozaAwe kuanzia 25 mpaka 50.
Mwenye biashara zake au kaajirawa.
Dini yoyote, kabila yoyote.
Mimi mfanyabiashara.
Niko 50+
Karibuni warembo
Mawazo yako yamefanana kabisa na yangu,Hmmm hiyo sasa mbaya bro! Ata mi siwapendi mno wanaume lakini kukosea kwangu njia hakuwezi kunifanya niwaadabishe wengine! Ujinga wangu mwenyew nlokutana nao uko nyuma sio sababu ya kushindwa kuanza upya, sidhani kama kuna mtu hajawahi kuumizwa japo maumivu na mapokeo ya yake yanatofautiana..
Hakuna haja ya kufanya hayo yote na sio lazima uoe, na sio lazima ukikutana na mtu umzalishe ndio uone umemkomesha! Mimi mwenyew ningekuwa mwanaume nisingewaza ndoa ni utapeli tu, sema kwa wanawake unaonekana shindikanaa ukikaa mwenyew miaka yote, We tembeza rungu uwezavyo ila jilinde, achana na mimba kuna maradhi pia, utapata UTI ya mbwa na gono sugu ww unazijua sindano zinavyouma zile? Ata ukisimliwa tu unaumiaš„µuna hamu na baby mama dramaz ww utajinyonga mbonaš±
Na ulikataa nije nikuchukue šNipo hapa ila sina kaziš«¢
ššš Nimelia sana! 50+Ngoja nimuite Binti wa zamani huenda akaokota dodo hapa,
Mkishindwana hebu mcheki BICHWA KOMWE -
Evelyn Salt una lolote la kuchangia hapa? binti kiziwi umeisoma mada lakini?
Umeshatembelea jukwaa la MMU?Kama bado wahi kwani huko mambo ni motooAwe kuanzia 25 mpaka 50.
Mwenye biashara zake au kaajirawa.
Dini yoyote, kabila yoyote.
Mimi mfanyabiashara.
Niko 50+
Karibuni warembo
Njoo chukuašNa ulikataa nije nikuchukue š
Nitakupigia simu kwa ile namba yako ya TTCL nikufariji,usijali.ššš Nimelia sana! 50+
Muite na Misss Natafuta, huyu alitafuta mpaka akachoka kama Clemence MwandamboNgoja nimuite Binti wa zamani huenda akaokota dodo hapa,
Mkishindwana hebu mcheki BICHWA KOMWE -
Evelyn Salt una lolote la kuchangia hapa? binti kiziwi umeisoma mada lakini?
Hapo sawa! šNitakupigia simu kwa ile namba yako ya TTCL nikufariji,usijali.
Miss NatafutaMuite na Misss Natafuta, huyu alitafuta mpaka akachoka kama Clemence Mwandambo
Weeee thubutuuuu
Njoo mkuuAwe kuanzia 25 mpaka 50.
Mwenye biashara zake au kaajirawa.
Dini yoyote, kabila yoyote.
Mimi mfanyabiashara.
Niko 50+
Karibuni warembo